iqna

IQNA

Taazia
TEHRAN (IQNA) – Qarii (msomaji wa Qur'ani) mashuhuri Sheikh Abdullah Kamel amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 38 huko New Jersey, Marekani, mapema wiki hii.
Habari ID: 3476934    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/30